Follow us on FaceBook

AUDIO: Takwimu za Kichuya zilizompa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi VPL





Shirkisho la soka Tanzania TFF leo October 18 2016 kupitia kwa afisa habari wake Alfred Lucas limemtangaza Shiza Ramadhani Kichuya kuwa mchezaji bora wa mwezi September wa Ligi Kuu Vodacom, TFF wamemtangaza Kichuya na atapatiwa zawadi ya Tsh milioni 1 kutoka Vodacom.
“Mshmabuliaji wa Simba Shiza Ramadhani Kichuya yeye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa VPL wa mwezi September kwa mwaka 2016, Kichuya ambaye ni mshambuliaji aliwashinda wachezaji Adam Kingwande wa Stand United na Omary Mponda wa Ndanda FC, Kichuya aliisaidi timu yake kupata point 12 katika mechi nne za September”
ALL GOALS: Yanga vs Simba October 1 2016, Full Time 1-1
Share on Google Plus

About MALCOMCHIMAZI-TZ

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment